TANGAZO LA MKUTANO MKUU WA KUMI NA MOJA (11)
Chama Kikuu cha Ushirika cha Wakulima wa Mkoa wa Singida (SIFACU LTD)
Mwenyekiti wa Bodi ya Chama Kikuu cha Ushirika cha Wakulima wa Mkoa wa Singida (SIFACU LTD) anawatangazia wanachama wote kuwa Mkutano Mkuu wa Kumi na Moja (11) utafanyika kama ifuatavyo:
π Tarehe
24 Machi 2026
π Ukumbi
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida
β° Muda
Saa 3:00 Asubuhi
Wanachama wote wanahimizwa kuhudhuria mkutano huu muhimu ili kujadili maendeleo ya chama, mafanikio yaliyopatikana, changamoto zilizopo pamoja na mikakati ya kuimarisha ustawi wa wanachama.
